
Boaz enzi za uhai wake

Taarifa za ajali
Ndugu wanachama, MISA Tanzania. inasikitika kutangaza kuwa wanachama wenzetu
Frank Mshana - ITV
Jonson James - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Shinyanga, wamepata ajali Mkoani Mei 19,2026 majira ya 12:00 jioni, eneo la Usanda, wilaya ya Shinyanga , Mkoa wa Shinyanga walikuwa wanatoka kwenye ziara Tinde.
Pia katika ajali hiyo Boaz amefariki Dunia
wanachama wetu wapo hospita ya rufaa ya Mkoa.
Tuwaombee wapate nafuu
Edwin Soko
Mwenyekiti
20.05.2026

إرسال تعليق