PICHA: MISA YA SHUKRANI "SEND OFF" BINTI WA RWEZAURA KISHAPU

Bi harusi mtalajiwa Ivona Machumu

Misa ya shukrani ya send off ya Binti wa Sixbert Rwezaula imefanyika katika Kanisa la Roman Catholic, Parokia ya Yohane Maria Vianney, Mhunze, wilayani Kishapu mkoani Shinyanga.


Misa hiyo imeongozwa na Padre Deusdedit Nkandi, Jumamosi, Aprili 11, 2026 akimtaka Ivona katika safari hiyo mpya ya maisha ya ndoa anayoiendea,awe mwanamke wa hekima, upendo na uvumilivu. "Mungu akuongoze katika kila hatua, akujalie moyo wa kujitoa, heshima na uaminifu uwe taa inayoangaza ndani ya familia yako, ukijenga ndoa yenye msingi wa imani, amani na furaha".Padre Deusdedit Nkandi aliyeongoza misa hiyo ya shukraniPadre wa Parokia ya Mt. Yohane Maria Vianney -Mhunze,Jimbo Katoliki la Shinyanga Baba Paroko. Josephat MahaluAfisa uchaguzi Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Sixbert Rwezaula
























































































0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post