Na Sumai Salum-Kishapu
Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Peter Masindi aongoza mamia ya wakazi wa wilayani hiyo Agosti 15, 2026 kwenye mazoezi ya pamoja ya kujiandaa kwa kupokea na kuukimbiza Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa Agosti 18,2026 mkoani humo,. Mwenge wa Uhuru utapokelewa kutokea moani Mwanza huku makabidhiano hayo yakifanyika katika viwanja vya shule ya msingi Mwigumbi na Wilaya ya Kishapu ikiwa ndiyo ya kwanza kimkoa.
Mkuu wa Wilaya ya kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Peter Masindi akizungumza Agosti 15, 2026
Post a Comment