WAZIRI MAVUNDE AFANYA ZIARA MKOANI KATAVI

Mhe Anthony Peter Mavunde, Waziri wa Madini na Mbunge wa Jimbo la Mtumba, Mei, 12, 2026 amefanya ziara Mkoani Katavi - Mpanda kwa ajili ya kutembelea na kufuatilia shughuli mbalimbali za sekta ya madini.

0 تعليقات

إرسال تعليق

Post a Comment (0)

أحدث أقدم